ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 4, 2019

WAFANYABIASHARA WENGI MWANZA WANACHELEWA KUAMKA - NA HIZI NDIZO ATHARI ZAKE.


Katika safari yoyote ya mafanikio huwa ipo misingi na mambo ya lazima ambayo ni lazima uyajue ili kufanikiwa. Kwa kuyajua mambo hayo yatakupa dira na mwelekeo mzuri wa kufikia mafanikio makubwa.

Ni kweli unaweza ukawa una malengo mazuri uliyojiwekea, lakini bila kuyajua mambo hayo na kuyafanyia kazi itakuwa ni ngumu sana kufikia mafanikio yako. Watu wengi wenye mafanikio wanayajua mambo haya na kuyafanyia kazi mara kwa mara. Je, unajua ni mambo gani ambayo ni ya lazima sana katika safari yako ya mafanikio? 

JEH KUCHELEWA KUAMKA KUNA ATHARI GANI KATIKA MAENDELEO YA WAJASILIAMALI WENGI MWANZA?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.