ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 26, 2019

SHAMRASHAMRA ZA BULABO 2019 MWENDELEZO WA HIFADHI YA UTALII TAMADUNI ZA WASUKUMA



 BULABO hufanyika kila mwaka mwezi wa sita kusherekea mavuno, tamasha hili limekuwa maarufu sana nchini Tanzania kutokana na matumizi ya kuenzi mila na tamaduni za watu wa kabila la Wasukuma chatu na fisi (zamani) katika ngoma jambo ambalo huwaduwaza wengi.

Ni wiki moja ya sherehe hizo imeanza ikiwa ni tangu mwishoni mwa wiki siku ya Jumapili na yakitaraji kuhitimishwa Jumapili ya tarehe 30 Juni 2019 ambapo huu ndiyo muonekano wake.








Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.