Rais John Magufuli arejea nchini kutoka Zimbabwe ambapo amepokelewa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo.
Utakumbuka May 28 mwaka huu ndipo Rais Magufuli aliwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Robert Mugabe Jijini Harare nchini Zimbabwe na kupokelewa rasmi na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa.
Ondoka na Mshiko Ndani ya Meridianbet Leo
-
JE unajua kuwa siku ya leo unaweza kuondoka na mkwanja wako ndani ya
Meridianbet kwani mechi za ushindi zote zinachezwa hapa. Suka jamvi lako la
uhaki...
-
SERIKALI YASISITIZA UBUNIFU NA MATUMIZI YA TEHAMA KUINUA UBORA WA ELIMU
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Serikali imesisitiza umuhimu wa kutumia teknolojia na...
0 comments:
Post a Comment