Rais John Magufuli arejea nchini kutoka Zimbabwe ambapo amepokelewa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo.
Utakumbuka May 28 mwaka huu ndipo Rais Magufuli aliwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Robert Mugabe Jijini Harare nchini Zimbabwe na kupokelewa rasmi na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa.
MHE. SIMBACHAWE AITEMBELEA FAMILIA YA HAYATI MSUYA
-
*Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Familia ya Makamu wa Kwanza
wa Ra...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.