ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, April 30, 2019

MADUDU YA MHANDISI YASABABISHA MONGELLA KUGOMA KUFUNGUA MRADI.


MKUU wa mkoa wa Mwanza John Mongella amekataa kata kata kuweka jiwe la msingi la ufunguzi wa mradi wa maji ulioko kata ya Maligisu, Tarafa ya Ibindo wilayani Kwimba mkoani hapa, akidai kuwa hataki kushikishwa mradi huo ambao ujenzi wake umekuwa wakusuasua huku ukigubikwa na mianya ya upigaji.

Ujenzi wa mradi huo umeanza tangu mwaka 2013 ambapo hadi hii leo hali ni tete.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.