Kutoka Kijiji cha Kaunda kisiwani Maisome wilayani Sengerema mkoani Mwanza, Gsengo Tv inakutana uso kwa uso na mwinjilisti Ajilazaro anayesambaza injili mtaa kwa mtaa akitokea kanisa la EAGT kisiwani hapa.
JAS yafanya kikao cha kufunga Mwaka 2025
-
Na Mwandishi Wetu Morogoro 27 Disemba, 2025.
Jumuiya ya Wanafunzi ya Jiba Active Students (JAS) imefanya kikao maalum
cha kufunga shughuli za Mwaka 2025...
0 comments:
Post a Comment