Kutoka Kijiji cha Kaunda kisiwani Maisome wilayani Sengerema mkoani Mwanza, Gsengo Tv inakutana uso kwa uso na mwinjilisti Ajilazaro anayesambaza injili mtaa kwa mtaa akitokea kanisa la EAGT kisiwani hapa.
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
0 comments:
Post a Comment