ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 15, 2019

SAKATA LA MAJI NA KUHARA ARUSHA MWENYEKITI APC AZUNGUMZA HAYA.


Jana Waandishi wa Habari Arusha waliandamana hadi Makao Makuu ya Polisi kwa kile walichokidai kuachiliwa kwa mwandishi Basil Elias anayeshikiliwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kusambaza taarifa za ugonjwa wa kuhara kwa wakazi wa Arusha kunakodaiwa kutokana na matumizi ya maji

Mwandishi huyo alinashikiliwa na jeshi la polisi tangu majira ya saa 18:00 jioni ya Jumatano, chanzo Cha kukamatwa kwake Bado hakija fahamika.

Akafikishwa kituo kikuu cha Polisi na kutakiwa aandike maelezo kutokana na kosa alilo kamatiwa(Bado hakija wekwa wazi) ambapo kwa mujibu wa taarifa zisizo Rasmi ni agizo kutoka juu,kufuatia taharuki ya baadhi ya Maeneo jijini Arusha kukubwa na ugonjwa wa homa ya matumbo (Kuhara).

Japo taarifa hizo zilikanushwa na mamlaka ya maji Safi na usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA).

Mwenyekiti wa Chama cha waandishi wa Habari Mkoa wa Arusha Claud Gwandu amezungungumza nasi kuhusu sakata hilo.....

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.