ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 24, 2018

WENGER ATUA KWA WEAH, KUPOKEA TUZO MAALUM.






Kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger, yupo nchini Liberia kupokea tuzo maalumu ya heshima kutoka kwa Rais wa nchi hiyo, George Weah.

Wenger alimsajili Weah kama mchezaji mwaka 1988 wakati akifundisha Monaco.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.