ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 8, 2018

SAUTI:- WAKULIMA NJOMBE WALIA NA SOKO LA MAHINDI

NA AMIRI KILAGALILA NJOMBE/WANGING'OMBE
GSENGOtV

Wakulima wa zao la mahindi wilayani wanging'ombe mkoani Njombe wameiomba serikali kuwasaidia kuboresha  na kutafuta soko la zao hilo kutokana na hali ya mavuno iliyopatikana kwa kiasi kikubwa na kuwalazimu kuuza debe moja  kwa sh.3,500/= kutoka 15,000/= ya mwaka juzi na mwaka jana huku wengi wao kuhifadhi katika maghala kwa mda mrefu ili kusubiri soko la zao hilo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.