ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, February 27, 2018

SHULE YA SIMA SEKONDARI WILAYANI SENGEREMA YAEZULIWA NA UPEPO


PICHA VIDEO KUWAJIA HIVI PUNDE

WANAFUNZI ZAIDI YA 28 WA SHULE YA SEKONDARI SIMA ILIYOPO KATA YA SIMA WILAYANI SENGEREMA WAMEJERUHIWA  BAADA YA MVUA ILIYOAMBATANA NA UPEPO MKALI KUEZUA PAA KWA MADARASA MATATU YA KIDATO CHA KWANZA  ILIYONYESHA JANA  WILAYANI SENGEREMA

Akizungumza na  JEMBE FM shuleni hapo afisa elimu wa kata ya sima mwalimu SAMWELI MWITA amesema kuwa tukio hilo limetokea wakati wanafunzi wakiendelea na masomo  na wanafunzi walioumia zaidi wamepelekwa hospitali teule ya wilaya na wengine wamepelekwa zahanati ya sima kwa matibabu.

Sajali na hayo mwalimu MWITA ameiomba SERIKALI NA wadau wa elimu  kufika shuleni hapo na kujionea uwaribifu na  kusaidia kufanya ukarabati ili wanafunzi waweze kuendelea na masomo.

Kwa upande wake muuguzi wa zahanati ya SIMA bi MONICA SESTONES amedhibitisha kupokea zaidi ya wanafunzi  28 na hali zao zinaendelea vizuri

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.