Mzee Kingunge alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kushambuliwa na mbwa nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam takriban mwezi mmoja uliopita.
M/mungu ailaze roho ya Mzee wetu mahala pema peponi Amin.
Tupe maoni yako

0 comments:
Post a Comment