Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema mapema leo asubuhi na Mbunge wa
Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, na waombolezaji wengine wachache
wamehudhuria mazishi ya mbwa wa Nassari aliyeuawa na watu wasiojulikana
baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na kumpiga risasi.
Mazishi hayo yamefanyika huko huko Arumeru.Mbwa huyo alikuwa ni mlinzi
wa Nassari nyumbani kwake ambapo amesikitishwa na kifo cha mnyama huyo
aliyekuwa rafiki wake wa karibu.
JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU
-
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya
kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe*
*Dkt.Jafo amer...
SUBIRA MGALU AUTAKA UBUNGE BAGAMOYO
-
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum mkoani Pwani, Subira Khamis Mgalu, leo June
29,2025 amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Bagamoyo
mko...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.