ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 5, 2017

FAMILIA YA LISSU YAIKOSOA POLISI KATIKA KUFUATILIA SAKATA LA KUPIGWA RISASI NDUGU YAO.

Familia ya mbunge wa Singida mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Upinzani  nchini Tanzania  Tundu  Lissu, imelilalamikia jeshi la polisi la nchi hiyo kutokana na hatua yake ya kuchelewa katika kufanya uchunguzi wa tukio la kupigwa risasi ndugu yao. 


Kwa mujibu wa wanafamilia hao, kwa kuzingatia kuwa awali Lissu alikuwa ameelezea suala la yeye kufuatiliwa na watu wasiojilikana, hivyo kufahamika kwa wahusika wake ni jambo lepesi.
Siku ambayo Tundu Lissu alipigwa risasi.
Kadhalika ndugu wa Tundu Lissu wamewataka polisi nchini humo kushirikiana na vyombo vingine vya kimataifa ili kuwabaini wahusika.

 Mwandishi wetu  silvano kayera kutoka Dar es salaam Tanzania anataarifa zaidi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.