ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, September 2, 2017

WANANCHI WAVAMIWA NA CHUI NA KUJERUHIWA VIBAYA JIMBO LA ILEMELA MWANZA

 Tunachukua fursa hii kutoa pole kwa naibu waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi na mbunge wa Ilemela mhe Angelina Mabula kwa wananchi wake sita kuvamiwa na kujeruhiwa na Chui jana eneo la Kabangaja kata ya bugogwa jimboni Ilemela.



Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.