ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 13, 2017

NJIA 10 ZA KUPUNGUZA MAGONJWA YA KUKU

Mlipuko wa Magonjwa
Moja ya sababu za hasara kubwa kwa wafugaji ni vifo vingi vinavyotokea wakati mmoja .pindi mfugaji anapokumbwa na janga la vifo vya ndege kabla ya kufikia mwisho wa mzunguzo wa uzalishaji hivyo basi asitarajie kupata faida nzuri baada ya mauzo.


Hasara itokanayo na vifo inaweza kuepukika au kupunguzwa na kutokea kwa kiasi kidogo.Hili linawezekana,ifuatayo ni namna ya kufanikisha.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.