Waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Prof Makame Mbarawa, amemsimamisha kazi kaimu mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege ATCL kwa kuwachagua marubani wasiokidhi vigezo.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.