ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, July 25, 2016

WATETEZI HAKI ZA BINADAMU NCHINI CONGO WATAKA KOFFI OLOMIDE AHUKUMIWE

VIDEO YA TUKIO:- Congolese musician Koffi Olomide is awaiting deportation. This comes after he was arrested outside citizen studios last night. The events that raised an online uproar and the attempt by the musician to quieten the storm.

Shirika la kutetea haki za binadamu nchini Jamuhuri ya Kimemokrasia ya Congo, liitwalo Asvoko, limeiomba serikali ya nchi hiyo kumfungulia mashataka mwanamuziki Koffi Olomide.
Hii ni baada ya kuonekana katika video iliyosambaa mitandaoni akimpiga teke mmoja wanamuziki wake wa kike kwenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi ijumaa wiki iliopita.
Wakati huo huo shirika la Zambia la kilimo na biashara limefutilia mbali tamasha ambalo Koffi alipanga kulifanya nchini humo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.