ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 28, 2016

AKUTWA AMEKUFA ZIWANI BAADA YA KUPOTEA KWA MUDA WA SIKU 3 MWANZA.

Raia mmoja aliyetambulika kwa jina la Silas ambaye ni mkazi wa Sengerema mkoani Mwanza ameokotwa ziwani leo baada ya kupotea kwa muda wa siku tatu.

Marehemu Silas amepatikana kando mwa Ziwa Victoria katika Mwalo wa Kamanga wilaya ya Nyamagana Mwanza mjini  ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakija fahamika.

Hali aliyokutwa nayo marehemu:- Amekutwa kifua wazi (hana shati) bali suruali pekee na viatu mfukoni akiwa na Simu na Pesa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.