| Ummati uliofurika katika viwanja vya Furahisha kirumba jijini Hapa kwaajili ya kulishwa neno. |
| Kamati ya maandalizi iliyoundwa na wachungaji na maaskofu kutoka Umoja wa Makanisa mkoa wa Mwanza ikiwa jukwaa kuu na Muhubiri wa Kimataifa Daniel Kolenda wa tano kutoka kushoto. |
| Sehemu waliyoketi waratibu wa mkutano. |
| Kusanyiko katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza. |
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongela akipongezwa na mtumishi wa Mungu mara baada ya kuzindua kusanyiko. |
| Kuna salamu iliyoendelea toka jukwaa kuu ambayo iliwavutia wengi...ambayo iliambatana na kushangaa juu ya ukuu wa Mungu, ni Muhubiri Daniel Kolenda na Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela!! |
| Kusanyiko lilipunga mkono kuashiria kushangilia. |
| Kona na kona viwanja vya Furahisha kusanyiko la Mkutano mkubwa wa Injili wa Reinhard Bonnke unaohubiriwa na Daniel Kolenda kutoka nchini Ujerumani. |
| Amen |
| Usikivu ni kwa asilimia 100. |
| Injili inapenya ndani ya kusanyiko hili litakalodumu kwa uda wa siku tatu mfululizo kiliele kikiwa siku ya jumapili ya tarehe 26 June 2016. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment