Waziri wa Maliasili na Utalii Pro. Jumanne Maghembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi Msimamizi wa Wanyamapori, Charles Mulokozi baada ya kutoa vibali vya kusafirisha Tumbili kwenda Albania.
Sakata hilo limetokea baada ya Jeshi la Polisi kuwakamata raia 2 wa Uholanzi katika uwanja wa ndege wa KIA wakiwa na Tumbili 61 hai wakijaribu kuwasafirisha kwenda nchini Albania.
KHADIJA SAID ANG’ARA WIKI YA JUMUIYA YA WAZAZI DAR
-
*Leo, Jumamosi ya tarehe 09 Mei 2026, Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es
Salaam imefanikiwa kufanya Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Jumuiya ya
Wazazi Mkoa...
0 comments:
Post a Comment