Waziri wa Maliasili na Utalii Pro. Jumanne Maghembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi Msimamizi wa Wanyamapori, Charles Mulokozi baada ya kutoa vibali vya kusafirisha Tumbili kwenda Albania.
Sakata hilo limetokea baada ya Jeshi la Polisi kuwakamata raia 2 wa Uholanzi katika uwanja wa ndege wa KIA wakiwa na Tumbili 61 hai wakijaribu kuwasafirisha kwenda nchini Albania.
Marekani na Iran zashindwa kufikia makubaliano
-
Nchi hizo, zilfanya mazungumzo marefu ya saa 21 huko Islamabad, Pakistan,
lakini kwa mujibu wa Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, pande hizo mbili
hazik...
TANZANIA YAONGEZA KASI MAGEUZI MAKAZI HOLELA
-
Na Munir Shemweta, WANMM Nairobi
Serikali ya Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuboresha makazi
holela na kuyageuza kuwa maeneo rasmi, salama ...
0 comments:
Post a Comment