ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 10, 2016

SERIKALI IWASAIDIE ALBINISM

Na Emmanuel Mlelekwa,
March 10,2016
SHINYANGA
Jamii nchini imetakiwa kupiga vita vitendo vya unyanyasaji kwa  watu wenye ulemavu wa ngozi Albino vinavyofanywa dhidi yao kwa kuwa vitendo hivyo ni ukiukwaji wa haki za binadamu na vinaliletea Taifa sifa mbaya.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.