Rais mstaafu Jakaya Kikwete aipongeza serikali ya awamu ya 5 kwa kutekeleza ilani ya CCM ndani ya siku chache za utawala wa rais Magufuli. Rais Magufuli ameeleza kuwa serikali yake imedhamiria kufanya kazi na ametoa agizo kwa viongozi wote kuondoa kero za wananchi.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.