ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 2, 2016

UTENDAJI WA WAANDISHI WA HABARI MWAKA 2015

Kutana na mwenyekiti wa waandishi wa habari wanaoandika habari za masuala ya madawa ya kulevya mkoani Mwanza Edwin Soko, pamoja na mwandishi wa kituo cha redio ya Chuo cha SAUT Martin Mnyoni wakikuhabarisha kuhusu utendaji wa waandishi wa habari mwaka 2015.

Vipi utendaji wa vyombo vya habari.

Ufanisi wa mitandao ya kijamii unatathimini gani kwa mwaka 2015 - 2016?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.