Kutana na mwenyekiti wa waandishi wa habari wanaoandika habari za masuala ya madawa ya kulevya mkoani Mwanza Edwin Soko, pamoja na mwandishi wa kituo cha redio ya Chuo cha SAUT Martin Mnyoni wakikuhabarisha kuhusu utendaji wa waandishi wa habari mwaka 2015. Vipi utendaji wa vyombo vya habari. Ufanisi wa mitandao ya kijamii unatathimini gani kwa mwaka 2015 - 2016?
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment