Kutana na mwenyekiti wa waandishi wa habari wanaoandika habari za masuala ya madawa ya kulevya mkoani Mwanza Edwin Soko, pamoja na mwandishi wa kituo cha redio ya Chuo cha SAUT Martin Mnyoni wakikuhabarisha kuhusu utendaji wa waandishi wa habari mwaka 2015. Vipi utendaji wa vyombo vya habari. Ufanisi wa mitandao ya kijamii unatathimini gani kwa mwaka 2015 - 2016?
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
0 comments:
Post a Comment