Rais Magufuli ashiriki katika misa ya kuadhimisha sikukuu ya Krismasi katika kanisa la Mt. Petro Oystabay jijini Dar Es Salaam. Rais Magufuli ametuma salamu na heri ya sikukuu ya krismasi kwa Watanzania wote na kuwataka kufuata misingi ya dini na kudumisha upendo.
BAOBAO wakutana na NBAA, wapatiwa elimu ua Uhasibu
-
*Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
Tanzania (NBAA), CPA Prof. Siasa I. Mzenzi akizungumza na wanafunzi wa
Kidato cha ...
0 comments:
Post a Comment