Rais Magufuli ashiriki katika misa ya kuadhimisha sikukuu ya Krismasi katika kanisa la Mt. Petro Oystabay jijini Dar Es Salaam. Rais Magufuli ametuma salamu na heri ya sikukuu ya krismasi kwa Watanzania wote na kuwataka kufuata misingi ya dini na kudumisha upendo.
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...
0 comments:
Post a Comment