**SATURDAY EXPRESS** Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea jana 25/Dec2015 majira ya saa 12 asubuhi eneo la Soni Lushoto Tanga na watu wapatao 4 kufariki na majeruhi 105 baada ya lori walilokuwa wakisafiria Kutoka Korogwe kwenda Mugwashi wilayani Lushoto kuacha njia na kupinduka. Gari hilo aina ya Mitsubish Fuso lenye namba za usajili T 326 ADE lilipinduka baada ya dereva wa Gari hilo kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi na likatumbukia kwenye korongo.... ZAIDI TAARIFA IFUATAYO.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.