**SATURDAY EXPRESS** Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea jana 25/Dec2015 majira ya saa 12 asubuhi eneo la Soni Lushoto Tanga na watu wapatao 4 kufariki na majeruhi 105 baada ya lori walilokuwa wakisafiria Kutoka Korogwe kwenda Mugwashi wilayani Lushoto kuacha njia na kupinduka. Gari hilo aina ya Mitsubish Fuso lenye namba za usajili T 326 ADE lilipinduka baada ya dereva wa Gari hilo kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi na likatumbukia kwenye korongo.... ZAIDI TAARIFA IFUATAYO.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment