![]() |
| Mgombea urais kupitia CHADEMA na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edward Lowassa leo ameendelea na kampeni zake katika mkoa wa Mwanza. |
![]() |
| Lowassa amepokewa na ummati mkubwa katika viwanja vya Furahisha Kirumba jijini Mwanza. |
![]() |
| Engo kutoka juu ghorofani. |
![]() |
| Furahisha Kirumba na umma uliojitokeza kusikiliza sera. |
![]() |
| Mwenyekiti Mwenza wa vyama vya ukawa James Mbatia amewataka watanzania kutokubali kuyumbishwa kwa hoja ya afya kwa mgombea huyo wa urais. |
![]() |
| Mwanza. |
![]() |
| Mzee Kingunge Ngombale Mwiru katikati ya umma akiamasisha. |
![]() |
| Mgombea nafasi ya ubunge jimbo la Ilemela Higness Kiwia (mbunge mwenyeji) alipata nafasi ya kuomba ridhaa ya wananchi kwa kipindi kingine. |
![]() |
| Mitaa ya jirani na eneo la mkutano. |
![]() |
| Watu na watu wao, siasa na wananchi. |
![]() |
| Ni muda wa kusambaa mara baada ya mkutano kumalizika. |
![]() |
| Mwanza. |
Tupe maoni yako














0 comments:
Post a Comment