ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 20, 2015

JITIHADA ZA HOSPITALI YA BUGANDO KATIKA KUKABILIANA NA UGONJWA WA SARATANI

Mkuu wa Kitengo cha Saratani Hospitali ya Rufaa Bugando.
 SIKU ya saratani imeadhimishwa mkoani Mwanza kwa uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando kukutanana waandishi wa habari kwa lengo la kuelezea mikakati inayofanywa na hospitali hiyo katika kuimarisha tiba ya Saratani.


Maadhimisho hayo yamefanyika wakati huu ambapo idadi ya wagonjwa wa Saratani ikiongezeka katika mikoa ya kanda ya ziwa.

Dr. Nestory Masalu ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Saratani  Hospitali ya Rufaa ya Bugando anabainisha kasi ya ongozeko la wagonjwa. (BOFYA PLAY KUSIKILIZA)

Mmoja kati ya waathitika wa kansa.
Moja kati ya vichocheo vinavyosababisha ongezeko la idadi ya wagonjwa wa Saratani ni pamoja na... (BOFYA PLAY KUSIKILIZA)


Sehemu ya madaktari kitengo cha upasuaji hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza wakisikiliza maelezo yaliyokuwa yakitolewa na vitengo mbalimbali.
Wataalamu.
Jengo la matibabu ya Saratani ndani ya Hospitali ya Rufaa Bugando.
 Hospitali ya Bugando tayari imekwisha kamilisha ujenzi wa jengo la matibabu ya Saratani lililogharimu jumla ya Fedha za Kimarekani dola bilioni 7, Je Nini jitihada zaidi kuhakikisha huduma zinaanza katika hospitali hiyo. (BOFYA PLAY KUSIKILIZA)

Asilimia 60 ya wagonjwa wa Saratani nchini wanatoka katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Sehemu ya madaktari kitengo cha upasuaji hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza wakisikiliza maelezo yaliyokuwa yakitolewa na vitengo mbalimbali.
Lango kuu la jengo la Hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza.
Kutoka mbali muonekano wa jengo kuu la Hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.