![]() |
Zoezi hili la Tigo limekuja ikiwa ni mara baada ya shughuli za usafiri wa Bodaboda kurasimishwa nchini na kutambulika kama sehemu ya ajira rasmi kati ya vyombo vya usafiri rahisi. |
![]() |
Msafara ulipendeza 'kinyama' |
![]() |
Kuelekea moja kati ya vituo vya mafuta kwaajili ya kupata huduma ya ofa ya lita moja kwa kila dereva. |
![]() |
Mapozi ya washereheshaji. |
![]() |
Mashine za Tigo. |
![]() |
Mpaka kuleEEEeee!! |
![]() |
Kisha msafara ulielekea katikati ya jiji la Mwanza. |
![]() |
Tukio hili licha ya kuwa sehemu ya uchumi na biashara pia lilionekana kama utalii kwa wapita njia. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.