![]() |
| Washindi nafasi ya pili NMB Mwanza katika picha ya pamoja kabla ya kuvaana na SAUT. |
![]() |
| Patashika langoni mwa NMB Mwanza. |
![]() |
| Kasi, ufundi, umakini vimevuta hisia za mashabiki viwanja vya Raila Odinga Chuo cha SAUT Mwanza katika michuano ya Bonanza la Sports Xtra kwa mkoa wa Mwanza. |
![]() |
| Patashika langoni mwa SAUT pale ambapo NMB Mwanza walipo lishambulia kama nyuki. |
![]() |
| Kasi kuuwania mpira. |
![]() |
| Mashabiki wengine hakuna kukaa mwanzo mwisho. |
![]() |
| Jiografia ya ground husika. |
![]() |
| Macho ya mashabiki kwenye mchezo waupendao. |
![]() |
| Dakika za mchezo zilimalizika na sasa mikwaju ya penati ndiyo mpango mzima hapa mchezaji wa SAUT alifanikiwa kuutumbukiza mpira kimiani. |
![]() |
| Penati ya akili sana toka kwa mchezaji wa NMB Mwanza. |
![]() |
| Sehemu ya mashabiki na macho kwenye mchezo waupendao (SOKA). |
![]() |
| Ni mashabiki wa Chuo cha SAUT Mwanza wakiwa wamembeba golikipa wao aliye pangua penati ya mwisho ya nahodha wa NMB Mwanza Hassan Mtalemwa. |
![]() |
| "SAUT, SAUT, SAUT" ndiyo wimbo unaosikika hapa. |
![]() |
| SAUT na kombe lao la ubingwa Bonanza la Sports Xtra Day 2014 Mwanza. |
![]() |
| Mashabiki wa NMB Mwanza pamoja na baadhi ya wachezaji hawakusita kushangilia eti kisa kufungwa fainali, tena kwa makusudi walimbeba nahodha wao Mtalemwa akiwa na kombe la nafasi ya pili. |
![]() |
| Mbwiga wa Mbwiguke (wa pili kutoka kushoto) akiwa na mashabiki wake. |
![]() |
| Kikosi cha Sports Xtra kilichoenguliwa kwa taaaaaaaaaabu katika mchezo wa nusu fainali kwa njia ngumu ya mikwaju ya penati 2 - 3 dhidi ya NMB Mwanza. |
![]() |
| Kikosi cha VODACOM Mwanza licha ya kuonyesha soka tamu la kuvutia kiling'oka katika ngazi ya nusu fainali kwa penati 4 - 5 dhidi ya SAUT. |
![]() |
| Kikosi cha washirika wengine muhimu sana kwenye Bonanza la Sports Xtra Day 2014 Mwanza Advans Bank. |
![]() |
| Kikosi cha washirika wa karibu sana moja kati ya wadhamini wa kipindi cha Sports Xtra Clouds fm, Tigo Mwanza katika picha ya pamoja. |
![]() |
| Mwisho ilikuwa ni kujipongeza kwa kupata msosi makini huku tukiwa na nyuzi za Binslum. |
Tupe maoni yako



























0 comments:
Post a Comment