ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 31, 2014

ZIARA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI DR.TITUS KAMANI YABAINI CHANGAMOTO ZA VITENDEA KAZI KITUO CHA UTAFITI WA SAMAKI MWANZA.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dr. Titus Kamani(kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Samaki kituo cha Mwanza  (TAFIRI) Dr. Robert Kayanda wakitazama jinsi hatua mbalimbali za utafiti zinavyofanyika ndani na nje ya ziwa.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dr. Titus Kamani akishuka toka katika boti ya utafiti mara baada ya kuzugukia maeneo ya utafiti ziwa Victoria ambapo pia aliambatana na wadau wengine wa kitengo husika mkoa wa Mwanza..
Boti ya utafiti ikiwa na Mhe. Waziri pamoja na wadau wa utafiti.
Kituo cha Utafiti wa Samaki Tanzania kituo cha Mwanza bado kinakabiliwa na changamoto ya upungufu wa vitendea kwa baadhi ya boti zake hazijakarabatiwa kwa muda mrefu na moja kati ya boti za utafiti imekufa injini yake ikihitaji kufufuliwa pamoja na changamoto ya bejeti finyu ya kuendeshea mradi. Mfano kwa mwaka jana Idara ya Uvuvi mkoa wa Mwanza iliiingizia serikali kiasi cha shilingi bilioni 3 lakini bajeti iliyopata haikuzidi shilingi milioni 12. 
"Serikali haito vumilia kuona uvuvi haramu ukiendelea kushamiri badala yake itaendelea kupambana kwa hali na mali na watu wanaotengeneza zana haramu za uvuvi ili kuwepo na uvuvi endelevu wenye tija kwa nchi yetu" 
PICHA NA ZEPHANIA MANDIA.
WA G. SENGO BLOG.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.