ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, January 12, 2014

KESHO NI MAPUMZIKO YA KITAIFA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ally Mohammed Shein kwa makubaliano na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete wametangaza kesho (jumatatu 13jan2014) kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. 

Hayo yamesemwa na Dr. Shein katika hotuba yake ya maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi katika Uwanja wa Amani Zanzibar mchana wa leo.!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.