ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, November 13, 2013

JK AUPONGEZA MGODI WA MUWEKEZAJI MZAWA NA MZALENDO KWA KUENDESHA SHUGHULI ZAKE KISASA.

Rais JK akihutubia wafanyakazi na wananchi kwenye mgodi wa Muwekezaji mzawa na mzalendo Baraka anayemiliki kampuni ya Baraka Gold Mine iliyoko mkoani Geita.

Rais Jakaya mrisho Kikwete akipata picha ya pamoja na muwekezaji mzawa na mzalendo Baraka Ezekiel anayemiliki kampuni ya Baraka Gold Mine iliyoko mkoani Geita
Sasa tunaelekea kwenye mradi.
Rais JK alipata fursa ya kutembelea eneo la mradi kujionea hali ya uchimbaji kwa kampuni ya Baraka Gold Mine iliyoko mkoani Geita
Kazi ya uchimbaji ikiendelea.
Eneo la mradi ambalo limeajiri vijana wengi wazawa hivyo kupunguza tatizo la ajira nchini.
Sehemu ya wafanyakazi  370 wa mgodi wa muwekezaji mzawa na mzalendo Baraka anayemiliki kampuni ya Baraka Gold Mine iliyoko mkoani Geita, wakiwa katika maandamano ya kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete aliyetembelea eneo lao kujionea shughuli mbalimbali za uchimbaji.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Baraka Gold Mine, Baraka Ezekiel (kushoto) katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Geita Said Magalula (katikati) na Mkurugenzi wa kampuni ya NSAGALI LTD Emmanuel Gungu anayemiliki mgodi wa katika eneo la Ushirombo, hawa ni wawekezaji wazalendo waliomkuna rais Kikwete kupitia uwekezaji wao wa na kuchangia shughuli za maendeleo ya jamii mkoa wa Geita.
Naibu waziri wa Nishati na Madini Mhe. Steven Masele (kulia)  na Mbunge wa viti maalum Mhe. Vick Kamata (katikati) na Baraka Ezekiel ambaye ni muwekezaji mzawa na mzalendo anayemiliki kampuni ya Baraka Gold Mine iliyoko mkoani Geita.
Mwenyekitii wa CCM Geita Joseph Msukuma (katikati) na kulia ni Emmanuel Gungu Mkurugenzi na miliki wa mgodi wa Nsagali  ulioko Ushirombo wakiwa na Baraka Ezekiel ambaye ni muwekezaji mzawa na mzalendo anayemiliki kampuni ya Baraka Gold Mine iliyoko mkoani Geita.
Naibu waziri wa Nishati na Madini Steven Masele (wa tatu kutoka kushoto) akitoa maelezo kwa Mhe. Rais JK. Wengine katika picha Waziri wa Ujenzi John Magufuli (katikati) na kulia ni Baraka Ezekiel ambaye ni Mkurugenzi wa Mgodi.

Wengine kutoka kushoto ni Ahmed Mbaraka ambaye ni diwani wa kata ya Nyarugusu na Kasim Majaliwa ambaye ni Naibu waziri TAMISEMI anayeshughulikia elimu. 
Wananchi na wafanyakazi wa kampuni ya Baraka Gold Mine iliyoko mkoani Geita wakiwa kwenye kusanyiko la mkutanowa Rais JK alipotembelea mgodi wa muwekezaji mzawa na mzalendo Baraka Ezekiel anayemiliki kampuni ya Baraka Gold Mine.
Wananchi na wafanyakazi wa kampuni ya Baraka Gold Mine iliyoko mkoani Geita wakiwa kwenye kusanyiko la mkutanowa Rais JK alipotembelea mgodi wa muwekezaji mzawa na mzalendo Baraka Ezekiel anayemiliki kampuni ya Baraka Gold Mine.
NA: PETER FABIAN.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.