ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, October 13, 2013

UMIA UJAE NA JIJI LA DAR.

Ujenzi wa Morogoro Road unaoendelea sasa ni dhahiri kwamba ukikamilika utakuwa na manufaa makubwa kwa vyombo vya usafiri jijini Dar es salaam.

Muonekano katika eneo la mbele ya barabara hiyo Ubungo.

Kizuizi hiki licha ya kuwa kero kwa kuleta usumbufu na msongamano wa magari kimewekwa kwa makusudi ya ujenzi huo madhubuti.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.