![]() |
| Rais Jakaya Kikwete akishuka kwenye helkopta ya jeshi la polisi kufanya ziara yake wilayani Magu ambapo alipata mapokezi ya kutosha wilayani humo kuanzia kata hii ya Lugeye.. |
![]() |
| Rais Kikwete akiwa na wenyeji wake Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Dkt Anthony Diallo (mbele) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo (kushoto). |
![]() |
| Maelfu ya wananchi wamefurika kwenye kiwanja hiki kumpokea Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete. |
![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete alipokewa na ngoma za asili kwenye uwanja wa eneo la Zahanati ya Lugeye ambayo alifika kuifunguwa. |
![]() |
| Burudani zaidi. |
![]() |
| Wengi walimuona. |
![]() |
| Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi la Zahanati ya Lugeye iliyoko wilayani Magu mkoani Mwanza. |
![]() |
| Na sasa utepe kwaajili ya kuruhusu rasmi huduma kuendelea. |
![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akikaguwa wodi mbalimbali za Zahanati ya Lugeye. |
![]() |
| Moja ya Vitanda. |
![]() |
| Hatua kwa hatua ndani ya Zahanati hii ya Lugeye. |
![]() |
| Hapa kulikuwa na jambo la furaha zaidi... |
![]() |
| Mara baada ya kuzindua kituo hiki Mhe. Rais alisalimiana ana kwa ana na wananchi wake. |
![]() |
| Hatua kuelekea majukumu mengine ya ziara. |
![]() |
| Maandari ya kata ya Lugeye. |
Tupe maoni yako
















0 comments:
Post a Comment