![]() |
| Jumatano, vijana wa Mali mjini Gao, eneo lililokuwa ngome ya wapiganaji wa kiisilamu ulikombolewa na wanajeshi wa Mali mwishoni mwa wiki , wanajaribu kumzuia mshukiwa wa wizi kutoroka |
![]() |
| Hapa ni katika mto mmoja nchini Afrika Kusini siku iliyofuata , mfanyakazi wa shamba hili alilazimika kumkamata mamba huyu aliyetoroka kutoka shamba la kuwahifadhia mamba.. |
Tupe maoni yako
.png)
.png)
.png)
.png)

.png)
0 comments:
Post a Comment