ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 25, 2013

HII NI WIKI ALIYOAPISHWA RAIS OBAMA KWA MUHULA WA PILI.

Obama akiapishwa aliwaambia wamarekani kuwa huu ndio wakati wa kijiimarisha kama nchi hasa baada ya kukabiliana na changamoto kama za kiuchumi na afya

Obama na makamu wake wa rais Joe Biden

Sasha na Malia Obama nao hawakuachwa nyuma wakati wa sherehe hizo.

Wakati wa densi.

Baada ya sherehe wageni walitumbuizwa lakini hapa Obama na mkewe walipata fursa ya kucheza densi na wanajeshi.

Beyonce alikuwepo pia kuwatumbuiza watu waliofika kumpongeza Obama.

Mamia walijitokeza ili wasikose fursa ya kushuhudia jambo la kihistoria la kuapishwa kwa rais mweusi mara ya pili.
Obama na mkewe Michelle wakiwaamkua wananchi waliofika kumpongeza.

Obama na mkewe waliandaliwa dhifa ya jioni baada ya shereh hizo.

Gwaride la jeshi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.