![]() |
| Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akitoa neno la shukurani kwa Umoja wa akinamama KWEA. |
![]() |
| Wanachama wa Kwea katika meza ya Itifaki wakiweka mambo sawa akina mama hawa wamenuia kuutanua Umoja huo ili upate kufika maeneo yote nchini Tanzania. |
![]() |
| Moja kati ya meza za wana KWEA Mwanza. |
![]() |
| Mwenyekiti wa UWT wilaya ya Nyamagana na Diwani wa viti maalum (CCM) Mhe. Sikitu Sanziyote akisalimiana na mgeni rasmi mama Tunu Pinda. |
![]() |
| Mbunge wa Bariadi Magharibi Mh. Andrew Chenge akizungumza na kusanyiko hilo lililoalikwa kupata chakula cha jioni ambapo naye alishiriki kuchangia mfuko wa KWEA ili kuuboresha. |
![]() |
| Wadau kusanyikoni. |
![]() |
| Waalikwa mbalimbali wamehudhuria tukio hilo. |
![]() |
| Neno la shukurani kutoka kwa Uongozi wa KWEA lililowasilishwa na Bi. Shufaa. |
![]() |
| KWEA |
![]() |
| Picha ya pamoja. |
![]() |
| Kwa umakiiini... |
![]() |
| Meza zilipendeza |
![]() |
| Usiku wa chakula maalum. |
![]() |
| Zawadi toka kwa umoja wa KWEA Kwenda kwa Mke wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Tunu Pinda ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi usiku huo. |
![]() |
| Zawadi toka kwa umoja wa KWEA Kwenda kwa Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Peter Pinda. |
![]() |
| Umoja wa KWEA ukiagana na Mh. Waziri Mkuu Pinda ndani ya New Mwanza Hotel. |
Tupe maoni yako























0 comments:
Post a Comment