
Leo katika pitapita yangu maeneo ya kata ya Msambweni hapa jijini Tanga,nimekutana na kituko cha kusikitisha lakini kilichobeba ujumbe mzito kwa chama tawala. Ujumbe huo unasikitisha sana sana sana...kwa sababu umebeba picha ya umauti, Mimi kama mwanachama wa chadema, nimeshangazwa na namna wanachama wa CUF walio amua kutumia jeneza bandia na kikaragosi cha maiti kuonyesha hisia zao za kufurahia ushindi wa kata hiyo walioupata kwenye uchaguzi uliofanyika jana.




Naomba kuwasilisha
From: "Mohamedi Mtoi"
Tanga, Tanzania
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.