CHADEMA imemwekea pingamizi mgombea wa ccm,Sioyi,kwa madai kuwa sio raia wa Tanzania.CHADEMA imenasa barua ya siri yenye Kumb no.AR/C/32/VOL1/85, ya Feb 29/2/2012, kutoka kwa Afisa mfawidhi wa uhamiaji mkoa wa Arusha, kwenda kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha, ikifafanua uraia wa Sioyi, na katika ufafanuzi huo Ofisi ya uhamiaji inakiri kuwa kwa yeyote aliyezaliwa nje ya nchi, ukomo wa uraia wake ni pale anapofikisha miaka 18, na baada ya hapo anapaswa kuukana uraia wa nchi alipozaliwa, na Sioi Sumari alizaliwa Kenya,na hakuwahi kuomba uraia wa Tanzania.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.