ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, November 30, 2011

KUANZIA SASA JERRY MURO YUKO HURU

Jerry Muro akiongea na waandishi wa habari leo baada ya kuachiwa huru na mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.(Picha na Issa Michuzi)
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijijini Dar es Salaam imemwachia huru na kuwafutia mashtaka aliyekuwa 'JEMBE' Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro pamoja na washtakiwa wenzake wawili ambao ni Edmund Kapama na Deogratius Mgasa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kuomba rushwa ya tsh.10 milioni.

Tupe maoni yako

3 comments:

  1. Mungu ni mkubwa, huwatetea wote walio na haki.

    ReplyDelete
  2. Hongera sana kaka kaifaidi ndoa yako bila ya wasiwasi, naendelea kujituma kazini kwani alipo Mungu mwanadamu hana nafasi ishi kwa kumwamini Mungu utashinda kila lililo baya.

    ReplyDelete
  3. mzee wa ugali asubuhiDecember 1, 2011 at 10:37 AM

    hongera kamanda!

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.