ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, October 24, 2011

MH NAIBU BALOZI WA TANZANIA NCHINI UINGEREZA AMVISHA PETE FIRST LADY WAKE TO B'

Mr Chabaka akitoa pete
PETE ambayo ni Diamond ya Ukweli
Wachumba wakiwa na baadhi ya marafiki zao na familia
Wapenzi wakiwashukuru wageni waalikwa.
Ni sherehe fupi ya kuvalishana pete ya Uchumba iliyofanyika Jumamosi Tarehe 22 Oktoba 2011 kati ya Naibu Balozi wetu Mh.Chabaka na Bi Irene. Sherehe hii ilihudhuriwa na baadhi ya ndugu pamoja na marafiki wa karibu waliojumuika kwa pamoja kushuhudia tukio hili muhimu katika safari yao ya kuelekea kwenye ndoa.

Vazi alilovaa Bi Irene limebuniwa na kutengenezwa ramsi na Anna Lukindo. Tarehe na pamoja taratibu zote za harusi zitatolewa rasmi muda muafaka utakapowadia.

Hivyo basi Blogu hii pamoja na Urban Pulse Creative na Miss Jestina George tunapenda kuwapa hongera na fanaka katika penzi lao na maisha yao ya baadae, Mungu Awabariki.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.