Kibao elekezi kwa maonyesho yaliyohitimishwa rasmi leo ambapo kila mkoa ulijiandaa kwa kiwango chake huku kitaifa yakifanyika mkoani Dodoma.
Vifaranga vya kuku aina ya Chotara Baba: Redleghom Mama: Kienyeji (morashi) Uzalishaji nyama na mayai.
Pamba kwa madaraja.
Bodi ya pamba.
Maboga katika banda la kilimo wilaya ya Magu.
Bwana shamba James Petro akimnyoa Mhandisi wa kilimo, Injinia Mazengo kupitia umeme unaozalishwa na Power Tilla (Trekta la kulimia)ikiwa ni ubunifu kukabiliana na Mgao...tEHE! Ufugaji wa sungura.
TTCL Crew nayo iliwakilisha maonyeshoni kutoka kushoto Abel Ngusa, Grace Sisso, Lucas O. Oganje na Pius Nging'o.
Ni Pampu ya kuvuta maji kwa kutumia upepo (windmill) toka Halmashauri ya wilaya ya Misungwi(naahidi kukuletea video jinsi inavyofanyakazi)
Kona ya misonsomolo.com nayo iliwakilishwa barabara.
Mihogo.
Kilimo kwanza tumethubutu, tumeweza na tunazidi kusonga mbele....
Muelimishaji toka banda la Halmashauri akizibainisha zipi zana halali na zipi zana haramu kwa uvuvi.
Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri ladha ya bia
-
Bia, mojawapo ya vinywaji vinavyopendwa duniani, na kinywaji cha kileo
kinachopendwa zaidi kwa kiasi, kimekuwa sehemu ya jamii tangu wanadamu
walipogundua ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.