Wenyeji wa michuano ya Kili Taifa Cup kituo cha Mwanza Herous leo wametumia vyema uwanja wao wa nyumbani baada ya kuibamiza timu ya mkoa wa Kagera Rweru Eagles 2-1 mchezo uliochezwa kwenye dimba la CCM Kirumba.
Kesho kutwa katika kituo hiki mchezo wa kwanza saa nane ni baina ya Kagera v/s Shinyanga na mchezo wa pili ni baina ya Mara v/s Mwanza.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.