ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 25, 2011

KIWEWE CHA KUSHUKA DARAJA ZIARA YA BIRMINGHAM CITY NCHINI TANZANIA YAYEYUKA

Birmingham City wameamua kufuta safari yao ya Tanzania.

City, ambao wameshuka daraja katika ligi kuu ya England msimu huu walikuwa wasafiri kuja Tanzania kupambana na Simba ya Yanga katika mechi za kirafiki.

Hata hivyo watayarishaji walishindwa kuthibitisha utaratibu wa safari hiyo katika muda waliopewa.

Mabingwa hao wa kombe la Carling walioshuka daraja wanatafuta nchi ya kwenda kucheza mechi za kabla ya kuanza kwa msimu wa ligi daraja la kwanza kuisaka tiketi ya kurejea ligi kuu.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.