Mwishoni mwa wiki nilipata fursa ya kutembelea viwanja vya shule ya msingi Igoma wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, askwambie mtu nilikutana na watoto wadogo wanasukuma kandanda balaa, wakicheza mpira wa makaratasi aka cha ndimu huku wakizingatia sheria kadhaa za soka(ingawa siyo zote)
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.