Tukio hili la usimikwaji limekuja mara baada ya Taarifa zilizotoka mwishoni mwa mwaka jana kutolewa kutoka Ubalozi wa Vatican nchini kwenda kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ikielezea uteuzi huo na kufafanua kuwa Askofu Mkuu Ruwa’ichi anapaswa kwenda kuziba nafasi ya aliyekuwa Askofu wa jimbo hilo, Anthony Mayalla aliyefariki dunia Agosti 19, mwaka juzi.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.