ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 1, 2010

KAA MKAO WA KULA MAMBO IMEKUWA MAMBO!!!!

Mwimbaji na rapa machachari, mdogo kuliko wote mwenye maajabu katika stage wa Mwanamuziki Ferre Gola kutoka Jamhuri ya Demokrasia ya Congo anayejulikana kama (Shikitu) akihojiwa na wanahabari kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu J.K,Nyerere, Kiongozi wao mwanamuziki Ferre Gola yeye anatarajiwa kuwasili LEO mnamo saa 12 jioni na anatarajia kufanya onyesho kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee LEO Ijumaa akishirikiana na bendi ya Mashujaa inayoongozwa na Mwanamuziki Jado Field Force na kisha jumamosi mchana jijini MWANZA katika uwanja wa ccm KIRUMBA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.