WAKATI AFRIKA ILIPOPATA NAFASI KUANDAA KOMBE LA DUNIA HUKU NCHI YA AFRIKA KUSINI IKIWA NDIYO ARDHI TUNUKIWA, SHAKA KUBWA ILIKUWA SUALA LA MAHOTELI, USALAMA NA HOFU YA WENGI UHABA WA VIWANJA BORA VYA KISASA. LAKINI MAMBO HAYA SI SHAKA TENA NYUMBANI KWA MADIBA KWANI KILA KITU KIMEKAMILIKA.
Name: Soccer City StadiumENEO LA: Johannesburg
UNACHUKUWA WATU: 94,500
Name: Nelson Mandela Bay StadiumENEO LA: Nelson Mandela Bay/Port Elizabeth
UNACHUKUWA WATU: 46,000
Name: Mbombela StadiumENEO LA: Nelspruit
UNACHUKUWA WATU: 46,000
JINA: Green Point StadiumJIJI: Cape Town
UNACHUKUWA WATU: 70,000
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment