NI AJALI AMBAYO HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE ALIDHANI KUWA ANGEPONA MTU, ILITOKEA KATIKA KIJIJI CHA MALAMPAKA WILAYANI MASWA MKOANI SHINYANGA. PICHANI NI MWALIMU MATABA MOJA KATI YA ABILIA AMBAYE ALIKUWA AMEKAA UPANDE WA MBELE WA GARI ULIO BONYEA KIASI CHA KUTISHA INGAWAWALIPATA MAJERAHA MAKUBWA LAKINI MUNGU ALIWANUSURU. MARA NYINGI UKAGUZI WA VYOMBO VYA USAFIRI UMEKUWA UKIISHIA MIJINI TU. NENDA VIJIJINI UJIONEE MIKANGAFU IKITESA BARABARANI. TENA INABEBA HATA MAHARUSI. TUTAFANYAJE SASA?
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA
-
*Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa muda wa wiki
mbili kwa uongozi wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga eneo la
kariako...
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA NEC
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya
CCM Ta...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.