NI AJALI AMBAYO HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE ALIDHANI KUWA ANGEPONA MTU, ILITOKEA KATIKA KIJIJI CHA MALAMPAKA WILAYANI MASWA MKOANI SHINYANGA. PICHANI NI MWALIMU MATABA MOJA KATI YA ABILIA AMBAYE ALIKUWA AMEKAA UPANDE WA MBELE WA GARI ULIO BONYEA KIASI CHA KUTISHA INGAWAWALIPATA MAJERAHA MAKUBWA LAKINI MUNGU ALIWANUSURU. MARA NYINGI UKAGUZI WA VYOMBO VYA USAFIRI UMEKUWA UKIISHIA MIJINI TU. NENDA VIJIJINI UJIONEE MIKANGAFU IKITESA BARABARANI. TENA INABEBA HATA MAHARUSI. TUTAFANYAJE SASA?
Meridianbet Yawafikia Wanawake Wajane Magomeni
-
KATIKA kuendelea kutambua umuhimu wa jamii, Meridianbet leo hii iliamua
kufunga safari na kuwatembelea wanawake wajane wanaopatikana mtaa wa
Magomeni ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.