ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, September 14, 2016

MAWAZO YA WATANZANIA JUU YA WANAOLILIA MISAADA BUKOBA.

Yatambue mawazo ya watanzania juu ya wakazi wa Bukoba wanaolilia misaada baada ya kuathirika na tetemeko la ardhi yaliyotokea huko.

ZIARA YA WAZIRI MKUU TETEMEKO LA ARDHI KAGERA.

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza maelfu ya wananchi wa Manispaa ya Bukoba mjini kuaaga miili ya watu 16 waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea (Jumamosi, 10 Septemba, 2016 mkoani Kagera.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment