| Promotor wa mpambano wa ngumi za usio kuwa na ubingwa, Rashid Kipanga akiwatambulisha, Maneno Osward (Mtambo wa Gongo) kuliana Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) wanaotarajia kuchuana Augosti 10,2014.Makubaliano hayo yalifanyika katika Ukumbi wa Mwinjuma Dar es Salaam jana. |
0 comments:
Post a Comment